Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Ujenzi

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

Maonesho ya Nane nane jijini Dodoma.

Imewekwa: 15 Aug, 2026
Maonesho ya Nane nane jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu,Wizara ya Ujenzi Dr. Charles Msonde akipata maelezo kuhusu shughuli za AQRB wakati alipotembelea Banda la Bodi kwenye Maadhimisho ya Sikukuu ya Nane nane yanayo endelea katika viwanja vya Nane nane Nzuguni,Dodoma.