Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Ujenzi

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

Maonesho ya Nane nane jijini Dodoma.

Imewekwa: 15 Aug, 2026
Maonesho ya Nane nane jijini Dodoma.

Kaimu Msajili,Arch. Dr Daniel G. Matondo akitembelea banda la Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na wakadiriaji Majenzi (AQRB) ili kujionea huduma zitolewazo kwenye banda hilo katika Maadhisho ya Sikukuu ya Nanenane,viwanja vya Maonesho Nzuguni,Dodoma.