Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Ujenzi

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

Uhamasishaji kwa Wanafunzi wa Sekondari masomo ya sayansi

Imewekwa: 14 Feb, 2025
Uhamasishaji kwa Wanafunzi wa Sekondari masomo ya sayansi

Wanafunzi wa kike wahamasishwa kusoma masomo ya sayansi ili kuongeza idadi ya wanasayansi wa kike ambao watasaidia kuleta mageuzi ya sayansi na teknolojia, na kupata wataalam wengi kwenye taaluma ya Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi