Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Wizara ya Ujenzi

Bodi ya Usajili wa Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi

Kuhuisha Daftari la Wapiga Kura

Imewekwa: 14 Jul, 2022
Kuhuisha Daftari la Wapiga Kura

Tume inatarajia kuhuisha Daftari la Wapiga Kura mapema iwezekanavyo ikiwa ni maandalizi ya Uchaguzi mkuu wa 2025.

Katika maandalizi hayo, Tume itaandikisha wapiga kura wapya, wanaoboresha taarifa zao, waliopoteza vitambulisho na kufuta wasio na sifa.